TheTanzaniaTime

Rais Samia Aongoza Kikao Cha Baraza La Mawaziri

2026-03-05 - 16:38

Rais Samia Akiongoza Baraza La Mawaziri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri, tarehe 5 Machi, 2026 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Share this post: