TheTanzaniaTime

Kimenuka Arusha, Wananchi Wafunga Barabara – Video

2026-02-01 - 17:59

Wananchi wa Mtaa wa Migungani Kata ya Sokone One jijini Arusha wamefunga barabara ya kuelekea Mnara wa Voda Sombetini baada ya watu 2 kugongwa ndani ya nusu saa na kusababisha wafunge barabara kwa mawe wakitaka kuwekewa matuta.

Share this post: