TheTanzaniaTime

Dkt. Mwigulu Aongoza Mkutano Wa Kamati Ya Katiba, Sheria Na Bunge

2026-01-28 - 16:16

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo January 28,2026 ameongoza Mkutano wa Kamati ya Katiba, Sheria na Bunge ya Baraza la Mawaziri kwenye ukumbi wa Spika, bungeni jijini Dodoma, Januari 28, 2026.

Share this post: